Welcome to Mwananyamala Regional Referral Hospital



Mwananyamala Regional Referral Hospital is a public facility serving the population of more than 2.2 million in Dar es Salaam and the surrounding areas, with Kinondoni and Ubungo districts as its definition area. Our Vision is to be a leading Regional Referral Hospital in the provision of Quality Health Services


Maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyoambukiza Kitaifa

 

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof. Mabula Mchembe akizungumza katika kongamano la pili la kisayansi wakati wa maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyoambukiza ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es salaam. Novemba 9-10, 2020.

 

 

Mkurugenzi wa Tiba Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Grace Maghembe akizungumza na vyombo vya habari wakati wa Kongamano la pili la Kisayansi kuhusu kudhibiti  magonjwa yasiyoambukiza ukumbi wa Mwalimu Nyerere  Jijini Dar es salaam. Novemba 9-10, 2020.

 

Meneja  mipango- Mpango wa Taifa wa kuzuia na kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza Dkt. Omary  Ubuguyu akizungumza wakati wa Kongamano la pili la Kisayansi  kwenye maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyoambukiza ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es salaam. Novemba 9-10, 2020.

 

 

  Kongamano la pili la kisayansi wakati wa maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyoambukiza ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es salaam. Novemba 9-10, 2020.

 

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Aboubakar Kunenge akizungumza na wadau mbalimbali wa sekta ya Afya pamoja na wananchi waliojitokeza (hawapo pichani) katika kilele cha Maadhimisho ya wiki ya Magonjwa yasiyoambukiza mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam, Novemba 14, 2020.

 

 

 Mkurugenzi wa Tiba Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Grace Maghembe akizungumza wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyoambukiza Mnazi mmoja Jijini Dar es salaam. Novemba 14, 2020.

 

 

Mgeni rasmi Mhe. Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Abuubakar Kunenge akiwa na Mkurugenzi wa tiba Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Grace Maghembe wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyoambukiza Mnazi mmoja Jijini Dar es salaam. Novemba 14, 2020.