Welcome to Mwananyamala Regional Referral Hospital



Mwananyamala Regional Referral Hospital is a public facility serving the population of more than 2.2 million in Dar es Salaam and the surrounding areas, with Kinondoni and Ubungo districts as its definition area. Our Vision is to be a leading Regional Referral Hospital in the provision of Quality Health Services


ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO MHE DKT. GODWIN MOLLEL HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA MWANANYAMALA

 

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe Dkt. Godwin Mollel akizungumza na vyombo vya habari wakati wa ziara yake Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala tarehe 30 Disemba, 2021.

 

 Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe Dkt. Godwin Mollel akizungumza na wafanyakazi wakati wa ziara yake Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala tarehe 30 Disemba, 2021.

 

 Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Godwin Mollel akiwa katika chumba cha CT-Scan wakati wa ziara yake Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala tarehe 30 Disemba, 2021.

 

Mganga Mfawidhi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala Dkt. Zavery Benela akitoa taarifa ya hospitali wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Godwin Mollel hospitalini hapo tarehe 30 Disemba, 2021.

 

 Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Godwin Mollel katika picha ya pamoja Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala wakati wa ziara yake hospitalini hapo tarehe 30 Disemba, 2021.

 

 

Muuguzi Mkuu Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala, Musa Wambura akizungumza katika kikao cha wafanyakazi wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe Dkt. Godwin Mollel hospitalini hapo tarehe 30 Disemba, 2021.

 

 

Baadhi ya Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala wakiwa kwenye kikao wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Godwin Mollel hospitalini hapo tarehe 30 Disemba, 2021.