Welcome to Mwananyamala Regional Referral Hospital



Mwananyamala Regional Referral Hospital is a public facility serving the population of more than 2.2 million in Dar es Salaam and the surrounding areas, with Kinondoni and Ubungo districts as its definition area. Our Vision is to be a leading Regional Referral Hospital in the provision of Quality Health Services


UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA MWANANYAMALA

 

Mgeni rasmi Mganga Mfawidhi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala Dkt. Zavery Benela akizungumza wakati wa ufunguzi wa maadhimisho ya siku ya Wauguzi duniani yaliyofanyika hospitalini hapo tarehe 10 Mei, 2022. Hospitali ya Mwananyamala inatoa bila malipo huduma za afya, upimaji afya na chanjo ya UVIKO kuanzia tarehe 10 Mei hadi siku ya kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani tarehe 12 Mei 2022

Afisa Utumishi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala Mr. Obeid Ilomo akizungumza wakati wa ufunguzi wa maadhamisho ya siku ya Wauguzi duniani yaliyofanyika tarehe 10 Mei, 2022.


Mganga Mfawidhi Dkt .Zavery Benela na Afisa Utumishi Mr. Obeid Ilomo wakifurahia jambo katika picha ya pamoja wakati wa ufunguzi wa maadhimisho ya siku ya Wauguzi duniani yaliyofanyika hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala tarehe 10 Mei, 2022.


Kaimu Muuguzi Kiongozi hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala akizungumza wakati wa ufunguzi wa maadhamisho ya siku ya Wauguzi duniani yaliyofanyika hospitalini hapo tarehe 10 Mei, 2022. 

Mgeni rasmi Mganga Mfawidhi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala Dkt. Zavery Benela akimsikiliza Muuguzi wakati wa ufunguzi wa maadhamisho ya siku ya Wauguzi duniani hospitalini hapo tarehe 10 Mei, 2022.

Baadhi ya Wauguzi mbalimbali wakiburudika kwa pamoja wakati wa ufunguzi wa maadhamisho ya siku ya Wauguzi duniani yaliyofanyika hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala tarehe 10 Mei, 2022.

Muuguzi kutoka kitengo cha TB akizungumza wakati wa ufunguzi wa maadhimisho ya siku ya Wauguzi duniani yaliyofanyika hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala tarehe 10 Mei, 2022.

Afisa Ustawi wa Jamii Asia Mkini akizungumza wakati wa ufunguzi wa maadhimisho ya siku ya Wauguzi duniani yaliyofanyika hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala tarehe 10 Mei, 2022.