Welcome to Mwananyamala Regional Referral Hospital



Mwananyamala Regional Referral Hospital is a public facility serving the population of more than 2.2 million in Dar es Salaam and the surrounding areas, with Kinondoni and Ubungo districts as its definition area. Our Vision is to be a leading Regional Referral Hospital in the provision of Quality Health Services


MAADHIMISHO YA SIKU YA KIFUA KIKUU DUNIANI

 

Mratibu wa Kifua Kikuu na Ukoma hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala Dkt. Saudan Massawe akizungumza wakati wa maadhamisho ya siku ya Kifua Kikuu Duniani yaliyofanyika hospitalini hapo tarehe 24 Machi, 2022.


Mratibu wa shughuli za Kifua Kikuu, Ukoma na UKIMWI Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala Maliwaza Mganga akifanya mahojiano wakati wa maadhamisho ya siku ya Kifua Kikuu Duniani yaliyofanyika hospitalini hapo tarehe 24 Machi, 2022.



Dkt. Prisca Belege akimhudumia mwananchi aliyefika kupatata huduma wakati wa maadhamisho ya siku ya Kifua Kikuu Duniani yaliyofanyika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala tarehe 24 Machi, 2022.


Shughuli za utoaji wa elimu ya afya, chanjo ya UVIKO-19 pamoja na upimaji zikiendelea wakati wa maadhamisho ya siku ya Kifua Kikuu Duniani yaliyofanyika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala.



Muelimishaji afya akitoa elimu ya kifua kikuu kwa vijana wa bodaboda mtaani wakati wa maadhamisho ya siku ya Kifua Kikuu Duniani tarehe 24 Machi, 2022 yaliyoandaliwa na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala.


Shughuli za maadhamisho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani yakiendelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala tarehe 24 Machi, 2022.